Mara baada ya mateso ya siku hizo, mambo haya yatatokea: ‘Jua litakuwa jeusi, na mwezi hautatoa mwanga. Nyota zitaanguka kutoka angani, na kila kitu kilicho angani kitatikiswa kutoka mahali pake.’
“Mara baada ya dhiki ya wakati huo, jua litatiwa giza, mwezi hautatoa mwanga wake tena, na nyota zitaanguka kutoka mbin guni; nguvu za anga zitatikisika.